Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 6:18-19

1 Timotheo 6:18-19 NEN

Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine. Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Timotheo 6:18-19