Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 28:26-27

Matendo 28:26-27 NEN

“ ‘Nenda kwa watu hawa na useme, “Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama, lakini hamtaona.” Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 28:26-27