Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Amosi 1:1-2

Amosi 1:1-2 NEN

Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli. Alisema: “BWANA ananguruma toka Sayuni, pia ananguruma kutoka Yerusalemu; malisho ya wachunga wanyama yanakauka, kilele cha Karmeli kinanyauka.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Amosi 1:1-2