Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Amosi 7:14-15

Amosi 7:14-15 NEN

Amosi akamjibu Amazia, “Mimi sikuwa nabii wala mwana wa nabii, lakini nilikuwa mchungaji wa kondoo na mtunza mikuyu. Lakini BWANA akanitoa kutoka kuchunga kondoo na kuniambia, ‘Nenda, ukawatabirie watu wangu Israeli.’

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Amosi 7:14-15