Amosi 8:11
Amosi 8:11 NEN
“Siku zinakuja,” asema BWANA Mwenyezi, “wakati nitakapotuma njaa katika nchi yote: si njaa ya chakula wala kiu ya maji, lakini njaa ya kusikia maneno ya BWANA.
“Siku zinakuja,” asema BWANA Mwenyezi, “wakati nitakapotuma njaa katika nchi yote: si njaa ya chakula wala kiu ya maji, lakini njaa ya kusikia maneno ya BWANA.