Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 6:10

Danieli 6:10 NEN

Basi Danieli alipofahamu kuwa amri ile imetangazwa, alikwenda nyumbani kwenye chumba chake cha ghorofani ambako madirisha yalifunguka kuelekea Yerusalemu. Akapiga magoti na kuomba mara tatu kwa siku, akimshukuru Mungu wake kama alivyokuwa akifanya mwanzoni.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 6:10