Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 2:21

Mhubiri 2:21 NEN

Kwa kuwa mtu anaweza kufanya kazi yake kwa hekima, maarifa na ustadi, kisha analazimika kuacha vyote alivyo navyo kwa mtu mwingine ambaye hajavifanyia kazi. Hili nalo pia ni ubatili tena ni balaa kubwa.