Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Esta 6:1-2

Esta 6:1-2 NEN

Usiku ule mfalme hakupata usingizi, hivyo akaagiza aletewe kitabu cha kumbukumbu za matukio ya utawala wake, asomewe. Kitabu hicho kilikutwa na kumbukumbu kwamba Mordekai alikuwa amefichua jinsi Bigthana na Tereshi, waliokuwa maafisa wawili wa mfalme, walinzi wa lango walivyokuwa wamepanga hila ya kumuua Mfalme Ahasuero.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Esta 6:1-2