Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 28:20-22

Mwanzo 28:20-22 NEN

Kisha Yakobo akaweka nadhiri, akisema, “Kama Mungu akiwa pamoja nami na kunilinda katika safari niendayo, akinipa chakula nile na nguo nivae na nirudi salama nyumbani kwa baba yangu, hapo ndipo BWANA atakuwa Mungu wangu, nalo jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu na katika yote utakayonipa nitakutolea wewe sehemu ya kumi.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 28:20-22