Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:13-14

Yakobo 1:13-14 NEN

Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu wala yeye hamjaribu mtu yeyote. Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 1:13-14