Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 18:9-10

Yeremia 18:9-10 NEN

Ikiwa wakati mwingine nitatangaza kuwa taifa ama utawala ujengwe na kuwekwa wakfu, ikiwa utafanya maovu mbele zangu na hukunitii, ndipo nitakapoghairi makusudio yangu mema niliyokuwa nimeyakusudia.