Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 31:31-32

Yeremia 31:31-32 NEN

“Siku zinakuja,” asema BWANA, “nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda. Halitafanana na agano nililofanya na baba zao wakati nilipowashika mkono kuwaongoza watoke Misri, kwa sababu walivunja agano langu, ijapokuwa nilikuwa mume kwao,” asema BWANA.