Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 44:18

Yeremia 44:18 NEN

Lakini tangu tulipoacha kumfukizia uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia sadaka za kinywaji, hatupati chochote, na tumekuwa tukiangamizwa kwa upanga na njaa.”