Marko 3:28-29
Marko 3:28-29 NEN
Amin, nawaambia, dhambi zote na makufuru yote ya wanadamu watasamehewa. Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.”
Amin, nawaambia, dhambi zote na makufuru yote ya wanadamu watasamehewa. Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.”