Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 2:1-5

Mithali 2:1-5 NEN

Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako, kutega sikio lako kwenye hekima na kuweka moyo wako katika ufahamu, na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu, na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa, ndipo utakapoelewa kumcha BWANA na kupata maarifa ya Mungu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mithali 2:1-5