Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 117

117
Zaburi 117
Sifa za Mwenyezi Mungu
1Msifuni Mwenyezi Mungu, enyi mataifa yote;
mtukuzeni yeye, enyi watu wote.
2Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,
uaminifu wa Mwenyezi Mungu unadumu milele.
Msifuni Mwenyezi Mungu.#117:2 kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.

Iliyochaguliwa sasa

Zaburi 117: NENO

Kuonyesha

Shirikisha

Nakili

None

Je, ungependa vivutio vyako vihifadhiwe kwenye vifaa vyako vyote? Jisajili au ingia