Zaburi 139:7-10
Zaburi 139:7-10 NENO
Niende wapi nijiepushe na Roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako? Nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. Nikipanda juu kwa mabawa ya mapambazuko, nikikaa pande za mbali za bahari, hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.