Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 13:14-15

Ufunuo 13:14-15 NEN

Kwa sababu ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa kuzifanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi. Akapewa uwezo wa kuipa pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza, ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 13:14-15