Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tito 2:13-14

Tito 2:13-14 NEN

huku tukilitazamia tumaini lenye baraka na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu, aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ndiye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe kutoka uovu wote na kujisafishia watu kuwa mali yake Mwenyewe, yaani, wale walio na juhudi katika kutenda mema.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Tito 2:13-14