Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mdo 28:26-27

Mdo 28:26-27 SUV

akisema, Enenda kwa watu hawa, ukawaambie, Kusikia, mtasikia wala hamtafahamu; Na kuona, mtaona wala hamtatambua; Kwa maana mioyo ya watu hawa imepumbaa, Na masikio yao ni mazito ya kusikia, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.

Soma Mdo 28

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mdo 28:26-27