Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Amo 7:14-15

Amo 7:14-15 SUV

Ndipo Amosi akajibu akamwambia Amazia, Mimi sikuwa nabii, wala sikuwa mwana wa nabii; bali nalikuwa mchungaji, na mtunza mikuyu; naye BWANA akanitwaa, katika kufuatana na kundi; BWANA akaniambia, Enenda uwatabirie watu wangu Israeli.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Amo 7:14-15