Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 9:4-5

1 Wafalme 9:4-5 SRUV

na wewe, ukienda mbele zangu kama alivyokwenda Daudi, baba yako, kwa ukamilifu wa moyo, na kwa adili, kufanya hayo yote niliyokuamuru, na kuzishika sheria zangu na hukumu zangu, ndipo nitakapokifanya imara kiti cha ufalme wako juu ya Israeli milele; kama nilivyomwahidia Daudi, baba yako, nikisema, Hutakosa kuwa na mtu wa kukaa katika kiti cha enzi cha Israeli.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wafalme 9:4-5