Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 1:18-19

1 Timotheo 1:18-19 SRUV

Mwanangu Timotheo, nakukabidhi agizo hilo liwe akiba, kwa ajili ya maneno ya unabii yaliyonenwa awali juu yako, ili katika hayo uweze kupigana vile vita vizuri; uwe mwenye imani na dhamiri njema, ambayo wengine wameisukumia mbali, wakaangamia katika Imani.