Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Esta 6:1-2

Esta 6:1-2 SRUV

Usiku ule mfalme hakupata usingizi; akaamuru aletewe kitabu cha kumbukumbu nacho kikasomwa mbele ya mfalme. Ikaonekana kuwa imeandikwa ya kwamba Mordekai aliwasema Bigthana na Tereshi, wasimamizi wawili wa mfalme, katika hao waliolinda mlango, waliotaka kumwua mfalme Ahasuero.

Soma Esta 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Esta 6:1-2