Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 11:6-7

Mwanzo 11:6-7 SRUV

BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya. Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.

Soma Mwanzo 11

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 11:6-7