Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 8:10-11

Yohana 8:10-11 SRUV

Yesu akainuka asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; wala usitende dhambi tena.]

Soma Yohana 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 8:10-11