Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 13:18-19

Luka 13:18-19 SRUV

Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Umefanana na punje ya haradali aliyotwaa mtu akaitupa katika shamba lake; ikamea, ikawa mti; ndege wa angani wakakaa katika matawi yake.

Soma Luka 13

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 13:18-19