Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 5:5-6

Luka 5:5-6 SRUV

Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika

Soma Luka 5