Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 19:4-5

Mathayo 19:4-5 SRUV

Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mwanamume na mwanamke, akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?

Soma Mathayo 19

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 19:4-5