Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 7:1-2

Mathayo 7:1-2 SRUV

Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.

Soma Mathayo 7

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 7:1-2