Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 7:15-16

Mathayo 7:15-16 SRUV

Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?

Soma Mathayo 7

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 7:15-16