Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 16:17-18

Marko 16:17-18 SRUV

Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.

Soma Marko 16