Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 5:35-36

Marko 5:35-36 SRUV

Hata alipokuwa katika kunena, wakaja watu kutoka kwa yule mkuu wa sinagogi, wakisema, Binti yako amekwisha kufa; kwa nini uzidi kumsumbua mwalimu? Lakini Yesu, alipolisikia lile neno likinenwa, akamwambia mkuu wa sinagogi, Usiogope, amini tu.

Soma Marko 5

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 5:35-36