Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 131

131
Kumtumainia Mungu kwa utulivu
Wimbo wa kupanda mlima.
1 # Rum 12:16 BWANA, moyo wangu hauna kiburi,
Wala macho yangu hayainuki.
Wala sijishughulishi na mambo makuu,
Wala mambo yanayozidi nguvu zangu.
2 # Mt 18:3 Hakika nimeituliza nafsi yangu,
Na kuinyamazisha.
Kama mtoto aliyeachishwa kunyonya
Kifuani mwa mama yake;
Roho yangu ni kama mtoto,
Aliyeachishwa kunyonya.
3Ee Israeli, umtarajie BWANA,
Tangu leo na hata milele.

Iliyochaguliwa sasa

Zaburi 131: SRUV

Kuonyesha

Shirikisha

Nakili

None

Je, ungependa vivutio vyako vihifadhiwe kwenye vifaa vyako vyote? Jisajili au ingia