Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 7:59-60

Matendo 7:59-60 TKU

Walipokuwa wanampiga kwa mawe, Stefano aliomba, akisema, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” Alianguka kwa magoti yake na kupaza sauti, akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii!” Haya yalikuwa maneno yake ya mwisho kabla ya kufa.

Soma Matendo 7