Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 10:13-14

Kutoka 10:13-14 SCLDC10

Basi, Mose akainyosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri. Mwenyezi-Mungu akaleta upepo toka mashariki, ukavuma juu ya nchi mchana kutwa na usiku kucha. Kulipokucha, ule upepo ukawa umeleta nzige. Hao nzige wakaenea kila mahali nchini Misri, wakatua juu ya ardhi yote. Nzige hao walikuwa kundi kubwa kupindukia, kiasi ambacho hakijapata kutokea wala hakitatokea tena.

Soma Kutoka 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 10:13-14