Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 5:5-6

Luka 5:5-6 SCLDC10

Simoni akamjibu, “Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu.” Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.

Soma Luka 5