Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 16:30-32

Hesabu 16:30-32 SCLDC10

Lakini Mwenyezi-Mungu akifanya jambo ambalo halijapata kutendeka, ardhi ikafunuka na kuwameza watu hawa pamoja na kila kitu chao, wakaenda kuzimu wakiwa hai, basi mtajua kuwa watu hawa wamemdharau Mwenyezi-Mungu.” Mara tu alipomaliza kusema maneno hayo yote, ardhi chini ya Dathani na Abiramu ikafunuka kuwameza watu hao, jamaa zao, pamoja na wafuasi wote wa Kora na mali zao zote.

Soma Hesabu 16