Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.”
Soma Rom 4
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Rom 4:3
12 Days
Is seeing believing? Or is believing seeing? Those are questions of faith. This plan offers in-depth study of faith—from Old Testament stories of real people who demonstrated courageous faith in impossible situations to Jesus’ teachings on the subject. Through your readings, you’ll be encouraged to deepen your relationship with God and to become a more faithful follower of Jesus.
Siku 30
Soma Biblia Kila Siku 9 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kumbukumbu la Torati, Warumi na Mithali
Siku 28
Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!