Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 25:6-7

Matendo 25:6-7 SWZZB1921

Alipokwisha kukawia kwao siku kumi na zaidi, akatelemkia Kaisaria: hatta siku ya pili akaketi katika kiti cha hukumu akaamuru Paolo aletwe. Walipokuja Wayahudi walioshuka kutoka Yerusalemi wakasimama karibu yake wakaleta mashitaka mengi na mazito juu yake, wasiyoweza kuyathuhutisha.

Soma Matendo 25