Luka MT. 5:5-6
Luka MT. 5:5-6 SWZZB1921
Simon akajibu, akasema, Bwana, tulisumbuka usiku kucha, tusipate kitu: illakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Bassi, walipofanya hivi, wakakusanya wingi wa samaki: nyavu zao zikaanza kukatika.
Simon akajibu, akasema, Bwana, tulisumbuka usiku kucha, tusipate kitu: illakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Bassi, walipofanya hivi, wakakusanya wingi wa samaki: nyavu zao zikaanza kukatika.