“No one can come to Me unless the Father who sent Me draws him, and I will raise him up at the last day.
Soma John 6
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: John 6:44
13 Siku
Watu wengine hugundua ukweli mkubwa wa kiroho kwa bahati na wengine hutumia maisha yao yote wakitafuta. Labda ulikutana na mtu au kitu ambacho kilikuchochea kuvutiwa na kuchunguza masuala ya kiroho. Au labda umekuwa ukitafuta kwa muda mrefu kitu ambacho kinabadilisha maisha kwa kweli. Mpango huu wa usomaji ni mwaliko rahisi wa kuzingatia maisha ambayo Yesu anataka kukupa.
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku Agosti 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu Yohana na Mithali. Karibu kujiunga na mpango huu.
Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!