Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Mambo ya Nyakati 4:10

1 Mambo ya Nyakati 4:10 BHN

Lakini Yabesi alimwomba Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, nakusihi unibariki na kuipanua mipaka yangu. Mkono wako uwe pamoja nami na unilinde kutokana na jambo lolote ovu, lisiniumize.” Naye Mungu akamjalia yale aliyoomba.