Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 2:5-6

1 Timotheo 2:5-6 BHN

Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, ambaye alijitoa mwenyewe kuwakomboa watu wote. Huo ulikuwa uthibitisho, wakati ufaao ulipowadia, kwamba Mungu anataka kuwaokoa watu wote.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Timotheo 2:5-6