Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 2:8-10

1 Timotheo 2:8-10 BHN

Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi. Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa, bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Timotheo 2:8-10