Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wathesalonike 1:6-7

2 Wathesalonike 1:6-7 BHN

Mungu atafanya jambo la haki: Atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi na kuwapeni nafuu nyinyi mnaoteseka, na sisi pia. Atafanya jambo hilo wakati Bwana atakapotokea kutoka mbinguni pamoja na malaika wake wenye nguvu

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wathesalonike 1:6-7