Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 9:5

Kumbukumbu la Sheria 9:5 BHN

Mnaweza kuimiliki nchi yao si kwa sababu nyinyi ni watu wema au wenye mioyo safi; bali Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawafukuza watu hao mbele yenu kwa sababu ni waovu na anataka kuliweka imara lile neno alilowaapia babu zenu, Abrahamu, Isaka na Yakobo.