Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 5:12

Mhubiri 5:12 BHN

Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha.

Soma Mhubiri 5