Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 4:11-13

Waefeso 4:11-13 BHN

Ndiye aliyewapa watu zawadi: Wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza Injili, wengine wachungaji na waalimu. Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili ya kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo, na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waefeso 4:11-13