Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Esta 9:1

Esta 9:1 BHN

Siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, ilipofika, siku ambayo tangazo la mfalme lingetekelezwa, na maadui wa Wayahudi walitarajia kuwashinda Wayahudi, iligeuzwa kuwa siku ya ushindi kwa Wayahudi dhidi ya adui zao.

Soma Esta 9

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Esta 9:1